Babeli lina maanisha nini?
Je, miaka elfu tano zilizopita waandishi wa Biblia walikuwa wakitumia majina maarufu za miji mbali mbali kwa kufananisha MAOVU. Kama vile kinyume cha Mungu na sifa zake. Je? Kwanini mpendwa wa Yesu atumie majina kama hayo kwa filamu?More
July 2013
BULOGISI KWA YEZU
Kama vile yesu miaka elfu mbili iliyopita alivyotumia taswira ya kawaida ya jamii za nyakati hizo kutoa mifano yake kuu.Isije ikawa mshangao tukapata kumfahamu yesu hata kutoka kwa wakafiri kuwa yeye ni “msemaji mkuu wa nyakati zote”,pia nyakati zetu, katika jamii ya kisasa iliyoimarika kiteknolojia ikatumia taswira ya kawaida kutoka kanda za viteo na sinema.More