Mfalme wa matrix nyakati zake za mwisho, aliamua kutumia virusi kwa wana wa mungu waliyo tawanyika. Virusi hivi vilikua vikipewa kwa njia ya ustadi. Mimi wenu Yesu.iman Ghasia yiko:
-Tunaamini tunahitaji ufufuo na hivyo tujitambulishe na wale bikira kumi na kwamba tujihakikishie kuwa sisi ndio tutakaozindua ule kilio cha usiku wa manane. tujiulize swali hili, tutakuwa wale wenye hekima kweli?

-Tunaamini kuwa barua kwa kanisa la laodikia tumeandikiwa sisi pia,lakini wakati huo pia twaamini kuwa sisi ni watunza amri,Lakini Yesu hatuambii katika barua hii kwamba, japo matendo yetu .Sisi ni vuguvugu na tuko hatarini mwa kutemwa nje ya mdomo wake ?

-Tunaamini kuwa tunahitaji uhuisho kwa kujilinganisha na wale wanawali kumi.Na wakati huo huo kushawishika kuzindua kilio cha kumlilia Mungu usiku wa manane.Je si mlio huo wa kumlilia Mungu ndio uliowaamsha wale wanawali? -Tena tunaamini kuwa tunahitaji mwongozo wa unabii kutoka mbinguni.Pia tunashawishiwa kuwa kipawa hiki cha unabii tunacho tayari, kama ilivyoahidiwa katika nyakati hizi za mwisho. Je si kipawa hiki cha unabii ndicho kitakachokuwa na udhihirisho wa nguvu kabla ya kurudi kwa Yesu mara ya pili?
Yawezekana mtu aliye na roho wa unabii kuwa kipofu?
Ni wale tu walio hekaru ya roho mtakatifu wana roho ya unabii, kwa kuonesha waweza ona ndani ya giza totoro ndani ya roho, shukran kwa taa iliyojaa mafuta.
Yawezekana mtu anayetii amri kumi za Mungu kuwa uchi?
Ni waliotu na mfano wa Yesu waneweka amri kwa kweli kwa ishara ya mavazi mema. Siku njeme.

Zuri mola linda mimi katika kwa imani ghasi kwa virusi ya enyewe furahi na dini makuu.