idadi zinaonyeasha kuwa vifo vinapungua.na hukumu ya kifo inapungua.NA viongozi wanasema hizi ndizo nyakati mazuri za amani.More
February 2014
C’OUP DETAT
historia inaniambia kwamba napoleon bonaparte ,mkuu wa majeshi wa ufaransa na mwanasiasa aliingia kwa ungozi wakati wa ufunuo wa 18 brumaire(novemba 8 , 1799 na kuanzisha utawala wa wafaransa.More
MAGEUKO #4
unajihisi kuwa mgonjwa na kuchoka na kila aina ya maovu? hivi karibuni kondoo na umbwa mwitu watakula pamoja.
unahisi kama nambari yenye haina maana duniani?dunia mpya itaanza.unahisi unatumiwa na viongozi…More
RADIO LONDON
RADIO LONDONni ratiba inayo tangazwa na” BBC”kwa watu WA bara la uropa. wakati wa vita duniani Mara ya pili.watenda kazi wa redio ya uingereza wakajulikana sana kwa matangazo yao.kwa kila pande ya dunia.redio ya uingereza ilitumika sana kupasha ujumbe kwa vikosi .bibila pia ina tabiri kuwa nyakati sa mwisho kwa umbo kutakuwa na “Redio ya uingereza”yenye itatangaza ukweli kwa dunia iliyona Giza.
na nyota ya kila shabiki wa yesu,ina ahadi ya kwamba ujumbe ya uongo kwa umbo haitaweza kupunguza kilo ambacho kitavunja sheria,yenye itakinga kila mtu na kitu.upande mwingine inasema sauti hii itatoa mwanga kwa ulimwengu.(ufunuo 18:1)hii sauti itatoa mbinu ambazo zimewekwa na uongo wa umbo ile kuficha ukweli…sauti hii itakuwa na ujumbe maalamu kwa mashabiki wa yesu”toka kwa umbo”..kwa Matrix