Mfalme wa matrix nyakati zake za mwisho, aliamua kutumia virusi kwa wana wa mungu waliyo tawanyika. Virusi hivi vilikua vikipewa kwa njia ya ustadi. Mimi wenu Yesu.iman Ghasia yiko:More
October 2013
KUONEKANA KWA NURU KATIKA ANGA YA KIZAZI CHA OMEGA
40 – ARUBAINI
Nambari arubaini ni namba yenye maana fiche na ya muhimu sana katika Biblia.
Nambari hii inawakilisha mpango na kujiandaa , Zaburi 95:10 ambapo baadaye yalotabiriwa na waloongozwa kiroho yaanza hapo awali.More
JENEZA LA MAWE LANGU
Jeneza la mawe ni aina fulani ya mtungi inayotumika kuweka au kuhifadhia mfu au maiti. Halo mwanzo, Mungu alimuumba mwanadamu katika mfano wake mwenyewe na kuwapa Adamu na Awa tabia iloyowafaa. Lakini wanadamu wakaamua kuchukua njia nyingine ambayo ni tofauti na ile walopewa na Mungu mpaji wa uhai.More